Home » Afrika

Afrika

22 July 2016
Tume ya umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS, inasema imeguswa na ripoti za matukio ya “ubakaji”, yanayodaiwa kutekelezwa na wanajeshi wa Serikali na kwamba tuhuma hizo zimeanza kuchunguzwa. Kwa mujibu wa UNMISS, inasema kuwa, idadi ya raia, wengi wakiwa ni wasichana wadogo, wamekuwa wakishambuliwa jirani na jumba la umoja wa Mataifa... [Read More]
22 July 2016
Nchi ya Gambia juma hili, imepitisha sheria inayokataza ndoa za utotoni na kutangaza adhabu kali ya kifungo gerezani kwa mtu yeyote atakaye kiuka sheria hii. Chini ya sheria hii mpya, mwanaume atakae oa msichana wa chini ya umri wa miaka 18, atakabiliwa na kifungo cha miaka 20 jela, ambapo wazazi wake watahukumiwa kifungo cha miaka 21 jela, huku... [Read More]
22 July 2016
Maafisa wa usalama nchini Mali wamesema, uchunguzi zaidi unaendelea kufanywa katika mji wa Nampala, kubaini wahusika wa shambulio la hivi karibuni dhidi ya kambi ya jeshi la serikali iliyoko mjini humo, na ambalo liligharimu maisha ya wanajeshi 17 wa serikali. Kwa upande wake Rais wa Mali Ibrahim Boubakar Keita, amesema serikali yake itafanya kila... [Read More]
05 July 2016
Wakili Mkuu wa Serikali nchini Rwanda jana siku ya jumatatu ameomba kifungo cha maisha jela dhidi ya mameya wawili wa zamani wa Rwanda, wanaotuhumiwa kushiriki katika mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi katika kijiji chao mashariki mwa Rwanda mwezi Aprili, 1994. Baada ya miezi miwili kesi hiyo ikisikilzwa mbele ya Mahakama ya Paris, Philippe... [Read More]
17 June 2016
Mahakama jijini Nairobi, imewaachilia huru kwa dhamana wabunge wanane kutoka upande wa serikali na upinzani waliofikishwa Mahakamani kwa madai ya kutoa matamshi ya uchochezi Wanasiasa hao wamefikishwa Mahakamani baada ya kuzuiliwa kwa siku nne. Kutueleza mengi kuhusu uamuzi huu ni Mwandishi wetu James Shimanyula ambaye alikuwa Mahakamani.
17 June 2016
Agriculture Development Partners conduct field visits in Dodoma region and meet with national and local government authorities, June 15-17, 2016 17 June 2016, Dar es Salaam: Between15-17th June 2016, thirteen Development Partner (DP) agencies active in agriculture and rural development in Tanzania were visiting the Dodoma region to obtain first-... [Read More]
17 June 2016
MJUMBE wa Bodi ya Kituo cha Ufundi cha Kilimo na Maendeleo Vijijini (Technical Centre for Agricultural and Rural Cooperation, CTA) chenye makao makuu mjini Wageningen, Uholanzi, Prof. Faustin Kamuzora, akikabidhi kwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete uteuzi wa kuwa Balozi wa Heshima (Goodwill Ambassador) wa Maendeleo ya Kilimo katika... [Read More]
16 June 2016
Viongozi wa upinzani nchini Kenya wakiongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, wamezuiliwa na polisi kuonana na wanasiasa sita wa upinzani na serikali wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Pangani jijini Nairobi kwa madai ya kutoa matamshi ya uchochezi. Viongozi hao wameshtumu hatua ya serikali kuwazuia wanasiasa hao kwa siku ya tatu leo... [Read More]
16 June 2016
Mashirika ya kiraia nchini Burundi, yanasema hawana imani na mratibu wa mazungumzo ya amani nchini humo rais wa zamani wa Tanzania, Benjamin Mkapa. Wanaharakati hao wanaotetea watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi, wanasema uamuzi wao unakuja baada ya mratibu huo kukutana na muungano wa vyama vya upinzani CNARED jijini Brussels nchini Ubelgiji.... [Read More]
16 June 2016
Miili ya wahamiaji 34 ikiwemo ya watoto 20, ambayo ilitupwa na walanguzi wa biashara haramu ya binadamu imepatikana katika Jangwa moja nchini Niger. Ripoti zinasema kabla ya watu hao kupoteza maisha walikuwa safarini kwenda kutafuta hifadhi katika nchi jirani ya Algeria. Kupatikana kwa miiili ya watu hao kumethibitishwa na Wizara ya Mambo ya ndani... [Read More]

Pages

Ad
Subscribe to Afrika