Home » Tanzania » Vigogo Wawili wasimamishwa TBC

Vigogo Wawili wasimamishwa TBC

15 February 2016 | Tanzania

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio wa TBC Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi wa shirika hilo Bi. Edna Rajab na kuagiza kufumuliwa kwa Idara nzima ya habari na matukio ya kutokana na utendaji usioridhisha.

Ad