Home » Tanzania » UNESCO yafanya kongamano kujadili mpango wa maendeleo sekta ya Elimu

UNESCO yafanya kongamano kujadili mpango wa maendeleo sekta ya Elimu

27 January 2016 | Tanzania

Katika kuhakikisha elimu ya Tanzania inakua yenye ubora zaidi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limepanga kuisaidia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi kuandaa Mpango wa Maendeleo katika Sekta ya Elimu (ESDP), mpango ambao umelenga kusaidia serikali ya Tanzania kutengeneza maudhui na mikakati ya kuendeleza elimu kwa upande wa Tanzania bara.

 

 

 

 

 

 

 

 

Ad