Home » Tanzania » Rais Dkt. Magufuli akipokea Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa TAKUKURU

Rais Dkt. Magufuli akipokea Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa TAKUKURU

12 April 2016 | Tanzania

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameishika Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Kamishna Valentino Mlowola Ikulu jijini Dar es Salaam.

Ad