Home » Afrika » Upinzani nchini Syria umetoa onyo

Upinzani nchini Syria umetoa onyo

03 February 2016 | Afrika

Upinzani nchini Syria umetoa onyo juu ya mashambulizi yanayotekelezwa na majeshi ya serikali katika jimbo la Allepo yatavuruga mazungumzo ya amani yanayoendelea geneva uswizi.

Onyo hilo limetolewa na wajumbe wa kamati ya majadiliano HNC ambayo siku ya jumamosi  ilituma jopo la watu 17 wakiwemo viongozi watatu wa waasi kushiriki mazungumzo ya geneva.

Salim al-Muslet,msemaji wa kamati ya upinzani HNC  alibainisha kuwa upinzani ulikuwa ukisubiri na kufuatilia maendeleo ya jimbo la Allepo na majimbo mengine ikiwa masharti ya kusimamishwa mashambulizi yangetekelezwa.

Ad