Home » Tanzania » UWASILISHWAJI WA MUSWADA WA SHERIA YA RELI YA MWAKA 2017 (THE RAILWAY ACT, 2017)

UWASILISHWAJI WA MUSWADA WA SHERIA YA RELI YA MWAKA 2017 (THE RAILWAY ACT, 2017)

14 September 2017 | Tanzania

unapendekeza kutungwa kwa sheria itakayoanzisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) ambalo litakuwa na jukumu la kusimamia, kuendeleza miundombinu ya reli na kutoa huduma ya usafiri wa reli - Prof. Makame Mbarawa.

ya muswada ni kuweka mfumo madhubuti wa utoaji huduma ya usafiri wa reli, usimamizi na uendelezaji wa miundombinu ya reli - Prof. Mbarawa.

umezingatia vyanzo vya mapato ambavyo ni pamoja na mfuko wa reli, ruzuku toka Serikalini, nauli za abiria pamoja na tozo za usafirishaji wa mizigo - Prof. Mbarawa.

umezingatia kuainisha utaratibu wa kutoa huduma ya usafirishaji wa abiria na mizigo - Prof. Makame Mbarawa.

utaratibu wa kuratibu ujenzi na uendelezaji wa miundombinu ya reli  ikiwa ni pamoja na uhifadhi wa eneo la reli - Prof. Makame Mbarawa.

Muswada unaainisha utaratibu wa kuhamisha watumishi kutoka TRL na RAHCO kwenda Shirika jipya - Prof. Makame Mbarawa.

MAONI NA USHAURI WA KAMATI YA BUNGE YA MIUNDO MBINU.

Jipya  liisaidie Serikali katika kufanya utafiti wa kupanua matawi ya reli ya kati kutoka Bandari  kavu ya Isaka ( Shinyanga) hadi Rusumo Mkoani Kagera - M'Mwenyekiti Mhe. Moshi Kakosa.

au uondilewaji wa wananchi waliomo kwenye maeneo ya Shirika la reli uendelee isipokuwa, wananchi waliomilikishwa maeneo ya Shirika la Reli - M'Mwenyekiti Mhe. Moshi Kakosa.

MICHANGO YA WAHESHIMIWA WABUNGE

# Mpanda ina wasafiri wengi wanaotumia reli hivyo mabehewa yaongezwe - Mhe. Anna Lupembe.

na kipengele kitakachoonyesha Shirika hilo jipya linatakiwa  kutengeneza faida - Mhe. Hussein Bashe.

iundwe na angalau mtu mmoja kutoka sekta binafsi kwani shirika litakuwa linatoa huduma kwa sekta binafsi pia - Mhe. Hussein Bashe.

la uchache wa mabehewa limesababisha wananchi wengi kushindwa kutumia usafiri huo - Mhe. Magdalena Sakaya.

Imeandaliwa na Idara ya Habari - MAELEZO.

Ad