Home » Tanzania » Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein afanya ziara kufungua miradi ya maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein afanya ziara kufungua miradi ya maendeleo.

14 August 2017 | Tanzania

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Haji Omar Kheir (kushoto) mara alipowasili katika Uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Viongozi mbali mbali mara alipowasili Shehia ya Kinyasini katika Uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Viongozi mbali mbali mara alipowasili Shehia ya Kinyasini katika Uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini”A” Unguja Hassan Ali mara alipowasili Shehia ya Kinyasini katika Uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo akiwa katika ziara ya kutembelea Miradi mbali mbali ya maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia Ujenzi wa Mradi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini”A” Unguja wakati alipofanya ziara maalum ya kukagua na kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo katika Mkoa wa Kaskazini Unguja
Baadhi ya Wananchi waliohudhuria katika sherehe ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipozungumza na Wananchi hao alipofanya ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akipata maelezo kutoka kwa Mkandarasi wa Mradi wa Ujenzi wa Soko la Kinyasini Wilaya ya Kaskazini”A” Unguja Nd,Ali Mbarouk na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ZECCON CO LTD,wakati alipoweka jiwe la msingi Ujenzi huo leo alipofanya ziara maalum ya kutembelea Miradi ya Maendeleo,(kushoto) Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.Hamadi Rashid Mohamed
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Mbyu maji alipofika kuangalia maendeleo na kupata maelezo mafupi juu ya huduma za jamii,karika Wilaya ya Kaskazini “A:” Unguja leo alipofanya ziara ,maalum Wilayani humo, [Picha na Ikulu.] 13/08/2017. 
Ad